1 Chronicles 29:22

22 aWakala na kunywa kwa furaha kubwa mbele za Bwana siku ile.

Wakamtawaza Sulemani mwana wa Daudi mara ya pili kuwa mfalme, wakamtia mafuta kwa ajili ya Bwana ili awe mfalme na Sadoki kuwa kuhani.
Copyright information for SwhKC